Moja kati ya mambo yanayo suasua katika kuifanya East Africa community kukua zaidi ni suala la biashara na mifumo ya kikodi. Mpaka hivi sasa nchi washirika zinaendelea kuumiza vichwa kukubaliana mfumo utaofaa kutumika ambao utatoa usawa katika kufaidisha pande zote husika katika biashara zinazovuka mipaka. Lakini hayo yakiendelea kufanyiwa vipimo, […]
Daily Archives: November 29, 2023
1 post